Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 4:9 - Swahili Revised Union Version

akamwambia, Haya yote nitakupa, ukiinama na kunisujudia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

akamwambia, “Hivi vyote nitakupa kama ukipiga magoti na kuniabudu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

akamwambia, “Hivi vyote nitakupa kama ukipiga magoti na kuniabudu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

akamwambia, “Hivi vyote nitakupa kama ukipiga magoti na kuniabudu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote ukinisujudia na kuniabudu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akamwambia, Haya yote nitakupa, ukiinama na kunisujudia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 4:9
21 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, wafalme wote na wamsujudie; Na mataifa yote wamtumikie.


Kwa msaada wangu wafalme humiliki, Na wakuu wanahukumu haki.


Nawe utafukuzwa mbali na wanadamu, na makao yako yatakuwa pamoja na wanyama wa mwituni; utalishwa majani kama ng'ombe, na nyakati saba zitapita juu yako, hata utakapojua ya kuwa Aliye Juu ndiye anayemiliki katika ufalme wa wanadamu, naye humpa amtakaye, awaye yote.


akasema, Ni nini mtakachonipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vipande thelathini vya fedha.


Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Mwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.


Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje.


Yesu, huku akijua ya kuwa Baba amempa vyote mikononi mwake, na ya kuwa alitoka kwa Mungu naye anakwenda kwa Mungu,


Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana anakuja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.


kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.


ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, wasiione nuru ya Injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.


Wala asiwe mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna akaanguka katika hukumu ya Ibilisi.


Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.


Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.