Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:9 - Swahili Revised Union Version

Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa fedha nyingi wakapewa maskini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Marashi haya yangaliweza kuuzwa kwa bei kubwa, maskini wakapewa hizo fedha.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Manukato haya yangeuzwa kwa bei kubwa, na fedha hizo wakapewa maskini.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Manukato haya yangeuzwa kwa bei kubwa, na fedha hizo wakapewa maskini.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa fedha nyingi wakapewa maskini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Gehazi, mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu, akasema, Tazama, bwana wangu amemwachilia huyo Naamani Mshami, asivipokee mikononi mwake vile vitu alivyovileta; kama BWANA aishivyo, mimi nitamfuata mbio, nipokee kitu kwake.


Yesu akatambua akawaambia, Mbona mnamtaabisha mwanamke? Maana ni kazi njema aliyonitendea mimi.


Wanafunzi wake walipoona, wakakasirika, wakasema, Ni wa nini upotevu huu?


Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa dinari mia tatu na kuzidi, wakapewa maskini. Wakamnung'unikia sana yule mwanamke.


wakiiacha njia iliyonyoka, wakapotea, wakiifuata njia ya Balaamu, mwana wa Beori, aliyependa ujira wa udhalimu;


Ila watu waliteka nyara, kondoo na ng'ombe walio wazuri, katika vitu vilivyowekwa wakfu, kusudi wavitoe dhabihu kwa BWANA, Mungu wako, huko Gilgali.


Lakini Sauli na watu wake wakamwacha Agagi hai, na katika kondoo walio wazuri, na ng'ombe, na vinono, na wana-kondoo, na chochote kilicho chema, wala hawakukubali kuwaangamiza; bali chochote kilichokuwa kibaya na kisichofaa, ndicho walichoangamiza kabisa.