Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 25:7 - Swahili Revised Union Version

Mara wakaondoka wanawali wale wote, wakazitengeneza taa zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo wale wasichana wote wakaamka, wakazitayarisha taa zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo wale wasichana wote wakaamka, wakazitayarisha taa zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo wale wasichana wote wakaamka, wakazitayarisha taa zao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Ndipo wale wanawali wote wakaamka na kuzitengeneza taa zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Ndipo wale wanawali wote wakaamka na kuzitengeneza taa zao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara wakaondoka wanawali wale wote, wakazitengeneza taa zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 25:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi.


Lakini usiku wa manane, pakawa na kelele, Haya, bwana arusi; tokeni mwende kumlaki.


Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara, Tupeni mafuta yenu kidogo; maana taa zetu zinazimika.


Viuno vyenu na viwe vimefungwa, na taa zenu ziwe zinawaka;


Kwa hiyo, wapenzi, mnapoyangojea mambo hayo, fanyeni bidii ili mwonekane mkiwa na amani, bila doa wala dosari mbele yake.


Uwe mwenye kukesha, ukayaimarishe mambo yaliyobakia, yanayotaka kufa. Maana sikuona matendo yako kuwa yametimilika mbele za Mungu wangu.