Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 25:28 - Swahili Revised Union Version

Basi, mnyang'anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, mnyanganyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, mnyanganyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, mnyang'anyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Basi mnyang’anyeni hiyo talanta, mkampe yule mwenye talanta kumi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Basi mnyang’anyeni hiyo talanta, mkampe yule mwenye talanta kumi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, mnyang'anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 25:28
4 Marejeleo ya Msalaba  

basi, ilikupasa kuiweka fedha yangu kwa watoao riba; nami nikija ningalipata iliyo yangu na faida yake.


Kwa maana kila mwenye kitu atapewa, na kuongezewa tele; lakini asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang'anywa.


lakini kinatakiwa kitu kimoja tu; na Mariamu amelichagua fungu lililo jema, ambalo hatanyang'anywa.


Akawaambia waliosimama karibu, Mnyang'anyeni hilo fungu, mkampe yule mwenye mafungu kumi.