Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 25:2 - Swahili Revised Union Version

Watano wao walikuwa wapumbavu, na watano wenye busara.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watano wao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watano wao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watano wao walikuwa wapumbavu, na watano wenye busara.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 25:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kikapu kimoja kilikuwa na tini nzuri sana, kama tini zilizotangulia kuiva; na kikapu cha pili kilikuwa na tini mbovu sana zisizoweza kuliwa, kwa kuwa zilikuwa mbovu sana.


Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.


Ni nani basi yule mtumwa mwaminifu mwenye akili, ambaye bwana wake alimweka juu ya nyumba yake, awape watu chakula kwa wakati wake?


Wale waliokuwa wapumbavu walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta pamoja nao;


bali wale wenye busara walitwaa mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.


Lakini wale wenye busara wakawajibu, wakisema, Sivyo; hayatatutosha sisi na ninyi; afadhali shikeni njia mwende kwa wauzao, mkajinunulie.


Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.


Tena napenda kuwakumbusha, ijapokuwa mmekwisha kujua haya yote, ya kwamba Bwana, akiisha kuwaokoa watu katika nchi ya Misri, aliwaangamiza baadaye wale wasioamini.