Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 25:13 - Swahili Revised Union Version

Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui siku wala saa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kwa hiyo kesheni, kwa sababu hamjui siku wala saa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 25:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

bwana wake mtumwa huyo atakuja siku asiyotazamia, na saa asiyojua,


Akajibu akasema, Amin, nawaambia, siwajui ninyi.


Basi, kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka katika haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.


Kwa hiyo kesheni, mkikumbuka ya kwamba miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi.


Kesheni, simameni imara katika imani, iweni na ujasiri, mkawe hodari.


Basi tusilale usingizi kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.


Bali wewe, uwe mwenye kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiza huduma yako kwa ukamilifu.


Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia; basi, iweni na akili, mkeshe katika sala.


Muwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka zunguka, akitafuta mtu ammeze.


(Tazama, naja kama mwizi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)