Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:46 - Swahili Revised Union Version

Heri mtumwa yule, ambaye bwana wake ajapo atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakapokuja atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakapokuja atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakapokuja atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Heri mtumwa yule, ambaye bwana wake ajapo atamkuta akifanya hivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:46
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani basi yule mtumwa mwaminifu mwenye akili, ambaye bwana wake alimweka juu ya nyumba yake, awape watu chakula kwa wakati wake?


Amin, nawaambieni, atamweka juu ya vitu vyake vyote.


Kisha Mfalme atawaambia wale walioko katika mkono wake wa kulia, Njooni, mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu kuumbwa ulimwengu;


Heri watumwa wale, ambao bwana wao ajapo atawakuta wanakesha. Amin, nawaambieni, atajifunga na kuwakaribisha chakulani, atakuja na kuwahudumia.


Heri mtumwa yule, ambaye bwana wake ajapo atamkuta anafanya hivyo.


(Tazama, naja kama mwizi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)


Nayajua matendo yako na upendo na imani na huduma na subira yako; tena kwamba matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza.