Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:28 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa popote ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pale ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pale ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pale ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana popote ulipo mzoga, huko ndiko wakusanyikapo tai.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana popote ulipo mzoga, huko ndiko wakusanyikapo tai.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa popote ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:28
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, asema BWANA, Nitatuma watu kuwaita wavuvi wengi, nao watawavua; na baada ya hayo nitatuma watu kuwaita wawindaji wengi, nao watawawinda, watoke katika kila mlima, na kila kilima, na pango za majabali.


Na wewe, mwanadamu, Bwana MUNGU asema hivi; Sema na ndege wa kila namna, na kila mnyama wa porini, Jikusanyeni, mje; jikusanyeni pande zote mwijie karamu yangu ya kafara ninayoandaa kwa ajili yenu, naam, karamu kuu ya kafara juu ya milima ya Israeli, mpate kula nyama na kunywa damu.


Farasi wao ni wepesi kuliko chui, ni wakali kuliko mbwamwitu wa jioni; na wapanda farasi wao hujitapa naam, wapanda farasi wao watoka mbali sana; huruka kama tai afanyaye haraka ale.


Wakajibu, wakamwuliza, Wapi, Bwana? Akawaambia, Ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai.


BWANA atakuletea taifa juu yako kutoka mbali, kutoka ncha ya dunia, kama arukavyo tai; taifa usiloufahamu ulimi wake;