Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:20 - Swahili Revised Union Version

Ombeni, ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi, wala siku ya sabato.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe siku za baridi au siku ya Sabato!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe siku za baridi au siku ya Sabato!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe siku za baridi au siku ya Sabato!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi au siku ya Sabato.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi au siku ya Sabato.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ombeni, ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi, wala siku ya sabato.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, kwa kuwa BWANA amewapa ninyi hiyo Sabato, kwa sababu hii huwapa siku ya sita chakula cha siku mbili; kaeni kila mtu mahali pake, mtu awaye yote asiondoke mahali pake kwa siku ya saba.


Ole wao wenye mimba na wanyonyeshao siku hizo!


Kwa kuwa wakati huo kutakuwapo dhiki kubwa, ambayo haijatokea namna yake tangu mwanzo wa ulimwengu hata sasa, wala haitakuwapo kamwe.


Kisha wakarudi kwenda Yerusalemu kutoka mlima ulioitwa wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, wapata mwendo wa sabato.