Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 23:31 - Swahili Revised Union Version

Hivi mwajishuhudia wenyewe, ya kwamba ninyi ni wana wao waliowaua manabii.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo mnathibitisha nyinyi wenyewe kwamba nyinyi ni watoto wa watu waliowaua manabii.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo mnathibitisha nyinyi wenyewe kwamba nyinyi ni watoto wa watu waliowaua manabii.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo mnathibitisha nyinyi wenyewe kwamba nyinyi ni watoto wa watu waliowaua manabii.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo mnajishuhudia wenyewe kwamba ninyi ni wana wa wale waliowaua manabii.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo mnajishuhudia wenyewe kwamba ninyi ni wana wa wale waliowaua manabii.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hivi mwajishuhudia wenyewe, ya kwamba ninyi ni wana wao waliowaua manabii.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 23:31
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa ajili ya ulimi wao wataangamizwa; Wote wawaonao watatetemeka kwa hofu. Wote wawaonao watatikisa kichwa.


Ni kwa sababu ya dhambi za manabii wake Na maovu ya makuhani wake, Walioimwaga damu ya wenye haki Katikati yake.


na kusema, Kama sisi tungalikuwako zamani za baba zetu, hatungalishirikiana nao katika damu ya manabii.


Kijazeni basi kipimo cha baba zenu.


Kwa sababu hiyo, angalieni, mimi natuma kwenu manabii na wenye hekima na waandishi; na wengine wao ninyi mtawaua na kuwasulubisha, na wengine wao mtawapiga katika masinagogi yenu, na kuwafukuza mji kwa mji;


Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii, na kuwapiga kwa mawe wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi nimetaka kuwakusanya pamoja watoto wako, kama vile kuku awakusanyavyo pamoja vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hamkutaka!


Akamwambia, Nitakuhukumu kwa kinywa chako, mtumwa mwovu wewe. Ulinijua kuwa ni mtu mgumu, nichukuaye nisichoweka, na kuvuna nisichopanda;


Yoshua akawaambia watu, Ninyi mmekuwa mashahidi juu ya nafsi zenu, ya kuwa mmemchagua BWANA, ili kumtumikia yeye. Wakasema, Sisi tu mashahidi.