Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 21:7 - Swahili Revised Union Version

wakamleta yule punda na mwanapunda, wakaweka nguo zao juu yao, naye akaketi juu yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakamleta yule punda na mtoto wake, wakatandika nguo zao juu yao na Yesu akaketi juu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakamleta yule punda na mtoto wake, wakatandika nguo zao juu yao na Yesu akaketi juu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakamleta yule punda na mtoto wake, wakatandika nguo zao juu yao na Yesu akaketi juu yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamleta yule punda na mwana-punda, nao wakatandika mavazi yao juu ya hao punda, naye Isa akaketi juu yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamleta yule punda na mwana-punda, nao wakatandika mavazi yao juu ya hao punda, naye Isa akaketi juu yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakamleta yule punda na mwanapunda, wakaweka nguo zao juu yao, naye akaketi juu yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 21:7
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakafanya haraka, kila mtu akalitwaa vazi lake, na kulitia chini yake juu ya madaraja, wakapiga baragumu wakasema, Yehu ni mfalme.


Nendeni katika kijiji kile kinachowakabili, na mara mtaona punda amefungwa, na mwanapunda pamoja naye; wafungueni mniletee.


Wale wanafunzi wakaenda zao, wakafanya kama Yesu alivyowaamuru,


Watu wengi katika ule mkutano wakatandaza nguo zao njiani; na wengine wakakata matawi ya miti, wakayatandaza njiani.