Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 21:40 - Swahili Revised Union Version

Basi atakapokuja yule bwana wa shamba la mizabibu, atawatendaje wale wakulima?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Basi huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyia nini hao wakulima?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kwa hiyo, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyia nini hao wakulima?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi atakapokuja yule bwana wa shamba la mizabibu, atawatendaje wale wakulima?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 21:40
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na sasa, enyi wenyeji wa Yerusalemu, nanyi watu wa Yuda, amueni, nawasihi, kati ya mimi na shamba langu la mizabibu.


Wakati wa kuvuna matunda ulipokuwa karibu, akawatuma watumwa wake kwa wale wakulima, wapokee matunda yake.


Wakamkamata, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua.


Wakamwambia, Atawaangamiza vibaya wale wabaya; na shamba la mizabibu atawapangisha wakulima wengine, watakaomlipa matunda kwa wakati wake.


Basi atafanyaje yule bwana wa shamba la mizabibu? Atakuja na kuwaangamiza wale wakulima, na lile shamba la mizabibu atawapa wengine.


Mwaonaje? Haikumpasa adhabu iliyo kubwa zaidi mtu yule aliyemkanyaga Mwana wa Mungu, na kuihesabu damu ya agano aliyotakaswa kwayo kuwa ni kitu ovyo, na kumfanyia jeuri Roho wa neema?