Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 21:20 - Swahili Revised Union Version

Wanafunzi walipoona, walistaajabu, wakisema, Jinsi gani mtini umenyauka mara?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, “Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanafunzi wake walipoona jambo hili, wakashangaa, wakamuuliza, “Imekuwaje mtini huu kunyauka ghafula?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanafunzi wake walipoona jambo hili, wakashangaa, wakamuuliza, “Imekuwaje mtini huu kunyauka ghafula?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wanafunzi walipoona, walistaajabu, wakisema, Jinsi gani mtini umenyauka mara?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 21:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akaona mtini mmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yake ila majani tu; akauambia, Yasipatikane matunda kwako tangu leo hata milele. Mtini ukanyauka mara.


Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia Mkiwa na imani, msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, Ng'oka, ukatupwe baharini, litatendeka.


Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.