Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 19:20 - Swahili Revised Union Version

Yule kijana akamwambia, Haya yote nimeyashika; nimepungukiwa na nini tena?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia; nifanye nini zaidi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia; nifanye nini zaidi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia; nifanye nini zaidi?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule kijana akasema, “Hizi zote nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule kijana akasema, “Hizi zote nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yule kijana akamwambia, Haya yote nimeyashika; nimepungukiwa na nini tena?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 19:20
12 Marejeleo ya Msalaba  

Waheshimu baba yako na mama yako, na, Mpende jirani yako kama nafsi yako.


Yesu akamwambia, Ukitaka kuwa mkamilifu, nenda ukauze ulivyo navyo, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.


Akamjibu baba yake, akasema, Tazama, mimi nimekutumikia miaka mingapi hii, wala sijakosa amri yako wakati wowote, lakini hujanipa mimi mwana-mbuzi, nisherehekee na rafiki zangu;


Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya kutubu.


Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.


Nami nilikuwa hai hapo kwanza bila sheria; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa.


Hivyo torati imekuwa kiongozi kutuleta kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani.


kwa habari ya juhudi, mwenye kuliudhi kanisa, kwa habari ya haki ipatikanayo kwa sheria sikuwa na hatia.