Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 19:15 - Swahili Revised Union Version

Akaweka mikono yake juu yao, akatoka huko.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye akaweka mikono yake juu yao, na akaondoka huko.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye akaweka mikono yake juu yao, na akaondoka huko.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaweka mikono yake juu yao, akatoka huko.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 19:15
6 Marejeleo ya Msalaba  

Atalilisha kundi lake kama mchungaji, Atawakusanya wana-kondoo mikononi mwake; Na kuwachukua kifuani mwake, Nao wanyonyeshao atawaongoza polepole.


Lakini Yesu akasema, Waacheni watoto wadogo waje kwangu; wala msiwazuie; kwa maana walio mfano wa hao, ufalme wa mbinguni ni wao.


Na tazama, mtu mmoja akamwendea akamwambia, Mwalimu, nitende jambo gani jema, ili nipate uzima wa milele?


Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.


Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.


na ya kuwa tangu utotoni umeyajua Maandiko Matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.