Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 16:9 - Swahili Revised Union Version

Hamjafahamu bado, wala hamkumbuki ile mikate mitano kwa wale elfu tano, na vikapu vingapi mlivyoviokota?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, hamjaelewa bado? Je, hamkumbuki nilipoimega ile mikate mitano kwa ajili ya wale watu 5,000? Je, mlijaza vikapu vingapi vya mabaki?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, hamjaelewa bado? Je, hamkumbuki nilipoimega ile mikate mitano kwa ajili ya wale watu 5,000? Je, mlijaza vikapu vingapi vya mabaki?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, hamjaelewa bado? Je, hamkumbuki nilipoimega ile mikate mitano kwa ajili ya wale watu 5,000? Je, mlijaza vikapu vingapi vya mabaki?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, bado hamwelewi? Je, hamkumbuki ile mikate mitano kwa watu elfu tano, na idadi ya vikapu vilivyojaa mabaki mlivyokusanya?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, bado hamwelewi? Je, hamkumbuki ile mikate mitano iliyolisha watu 5,000 na idadi ya vikapu vingapi vya mabaki mlivyokusanya?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hamjafahamu bado, wala hamkumbuki ile mikate mitano kwa wale watu elfu tano, na vikapu vingapi mlivyoviokota?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 16:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi;


Je! Hamkumbuki ya kuwa wakati nilipokuwapo pamoja nanyi niliwaambia hayo?


Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.