Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 16:15 - Swahili Revised Union Version

Akawaambia, Nanyi mwaninena mimi kuwa ni nani?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawauliza, “Na nyinyi je, mnasema mimi ni nani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawauliza, “Na nyinyi je, mnasema mimi ni nani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawauliza, “Na nyinyi je, mnasema mimi ni nani?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia, Nanyi mwaninena mimi kuwa ni nani?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 16:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.


Wakasema, Wengine hunena u Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii.


Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.


Naye akawauliza, Na ninyi mnasema ya kuwa mimi ni nani? Petro akamjibu, akamwambia, Wewe ndiwe Kristo.


Akawaambia, Nanyi mwasema ya kwamba mimi ni nani? Petro akamjibu akasema, Ndiwe Kristo wa Mungu.