Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:56 - Swahili Revised Union Version

Na dada zake wote hawapo hapa petu? Basi huyu amepata wapi haya yote?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi, amepata wapi haya yote?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi, amepata wapi haya yote?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na dada zake je, si wote wako hapa pamoja nasi? Basi, amepata wapi haya yote?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao dada zake wote, hawako hapa pamoja nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya yote?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nao dada zake wote, hawako hapa pamoja nasi? Mtu huyu amepata wapi basi mambo haya yote?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na dada zake wote hawapo hapa petu? Basi huyu amepata wapi haya yote?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:56
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wakachukizwa naye. Yesu akawaambia, Nabii hakosi kupata heshima, isipokuwa katika nchi yake, na nyumbani mwake mwenyewe.


Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simoni? Na dada zake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake.