Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:53 - Swahili Revised Union Version

Ikawa Yesu alipoimaliza mifano hiyo, alitoka akaenda zake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu alipomaliza kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu alipomaliza kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu alipomaliza kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa alipomaliza kutoa mifano hii, akaondoka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa alipomaliza kutoa mifano hii, akaondoka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa Yesu alipoimaliza mifano hiyo, alitoka akaenda zake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:53
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


Akawaambia, Kwa sababu hiyo, kila mwandishi mwenye elimu ya ufalme wa mbinguni amefanana na mtu mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.


Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake;