Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:26 - Swahili Revised Union Version

Baadaye majani ya ngano yalipomea na kuzaa, yakaonekana na magugu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, mimea ilipoota na kuanza kuchanua, magugu pia yakaanza kuonekana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, mimea ilipoota na kuanza kuchanua, magugu pia yakaanza kuonekana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, mimea ilipoota na kuanza kuchanua, magugu pia yakaanza kuonekana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ngano ilipoota na kutoa masuke, magugu nayo yakatokea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ngano ilipoota na kutoa masuke, magugu nayo yakatokea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Baadaye majani ya ngano yalipomea na kuzaa, yakaonekana na magugu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:26
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikakua, ikawa mzabibu wenye kuenea sana, wa kimo kifupi, ambao matawi yake yalimgeukia, na mizizi yake ilikuwa chini yake; basi ukawa mzabibu, ukatoa matawi, ukachipuza vichipuko.


lakini watu walipolala, akaja adui yake akapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.


Watumwa wa mwenye nyumba wakaenda wakamwambia, Bwana, hukupanda mbegu njema katika shamba lako? Limepata wapi basi magugu?