Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 12:21 - Swahili Revised Union Version

Na jina lake Mataifa watalitumainia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwake yeye mataifa yatakuwa na matumaini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwake yeye mataifa yatakuwa na matumaini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwake yeye mataifa yatakuwa na matumaini.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Katika Jina lake mataifa wataweka tumaini lao.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Katika Jina lake mataifa wataweka tumaini lao.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na jina lake Mataifa watalitumainia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 12:21
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na itakuwa katika siku hiyo, shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa makabila ya watu, yeye ndiye ambaye mataifa watamtafuta; na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.


Hatazimia, wala hatakata tamaa, hata atakapoweka hukumu duniani; na visiwa vitaingojea sheria yake.


Wakati ule akaletewa mtu mwenye pepo, kipofu, naye ni bubu; akamponya, hata yule bubu akanena na kuona.


ambao Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika Mataifa, nao ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu