Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 7:22 - Swahili Revised Union Version

Musa akafundishwa hekima yote ya Wamisri, akawa hodari wa maneno na matendo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mose alifundishwa mambo yote ya hekima ya Wamisri akawa mashuhuri kwa maneno na matendo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mose alifundishwa mambo yote ya hekima ya Wamisri akawa mashuhuri kwa maneno na matendo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mose alifundishwa mambo yote ya hekima ya Wamisri akawa mashuhuri kwa maneno na matendo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Musa akafundishwa hekima yote ya Wamisri, akawa mtu hodari kwa maneno na matendo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Musa akafundishwa hekima yote ya Wamisri, akawa mtu hodari kwa maneno na matendo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Musa akafundishwa hekima yote ya Wamisri, akawa hodari wa maneno na matendo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 7:22
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mfalme Sulemani akawapita wafalme wote wa duniani kwa mali, na kwa hekima.


Wakuu wa Soani wamekuwa wapumbavu kabisa; washauri wenye hekima wa Farao, ushauri wao umepumbazika; mwawezaje kumwambia Farao, Mimi ni mwana wa wenye hekima, ni mwana wa wafalme wa zamani?


vijana wasio na kasoro, wazuri wa uso, wajuzi wa hekima, werevu kwa sababu ya maarifa yao, wenye kufahamu elimu, watakaoweza kusimama katika jumba la mfalme; tena alimwambia awafundishe kusoma na kuandika, lugha ya Wakaldayo.


Akawauliza, Mambo gani? Wakamwambia, Mambo ya Yesu wa Nazareti, aliyekuwa mtu nabii, mwenye uwezo katika kutenda na kunena mbele za Mungu na watu wote;