Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 5:1 - Swahili Revised Union Version

Lakini mtu mmoja jina lake Anania, pamoja na Safira mkewe, aliuza mali,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na mkewe Safira waliuza kiwanja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na mkewe Safira waliuza kiwanja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini mtu mmoja jina lake Anania, pamoja na Safira mkewe, aliuza mali,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 5:1
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini na alaaniwe mtu adanganyaye, ambaye katika kundi lake ana dume, akaweka nadhiri, ila amtolea Bwana kitu kilicho na kilema; kwa maana mimi ni Mfalme mkuu, asema BWANA wa majeshi, na jina langu latisha katika mataifa.


Wote anipao Baba watakuja kwangu; wala yeyote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe.


alikuwa na shamba akaliuza, akaileta fedha, akaiweka miguuni pa mitume.


akihifadhi kwa siri sehemu ya thamani yake, mkewe naye akijua haya, akaleta fungu moja akaliweka miguuni pa mitume.


Basi katika nyumba kubwa havimo vyombo vya dhahabu na fedha tu, bali na vya mti, na vya udongo; vingine vina heshima, vingine havina.


Basi Yeriko ulikuwa umefungwa kabisa kwa sababu ya Waisraeli; hapana mtu aliyetoka wala hapana mtu aliyeingia.


Akawasongeza watu wa nyumba yake mmoja mmoja; na Akani, mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda akatwaliwa.