Lakini na alaaniwe mtu adanganyaye, ambaye katika kundi lake ana dume, akaweka nadhiri, ila amtolea Bwana kitu kilicho na kilema; kwa maana mimi ni Mfalme mkuu, asema BWANA wa majeshi, na jina langu latisha katika mataifa.
Matendo 5:1 - Swahili Revised Union Version Lakini mtu mmoja jina lake Anania, pamoja na Safira mkewe, aliuza mali, Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile. Biblia Habari Njema - BHND Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile. Neno: Bibilia Takatifu Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na mkewe Safira waliuza kiwanja. Neno: Maandiko Matakatifu Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na mkewe Safira waliuza kiwanja. BIBLIA KISWAHILI Lakini mtu mmoja jina lake Anania, pamoja na Safira mkewe, aliuza mali, |
Lakini na alaaniwe mtu adanganyaye, ambaye katika kundi lake ana dume, akaweka nadhiri, ila amtolea Bwana kitu kilicho na kilema; kwa maana mimi ni Mfalme mkuu, asema BWANA wa majeshi, na jina langu latisha katika mataifa.
akihifadhi kwa siri sehemu ya thamani yake, mkewe naye akijua haya, akaleta fungu moja akaliweka miguuni pa mitume.
Basi katika nyumba kubwa havimo vyombo vya dhahabu na fedha tu, bali na vya mti, na vya udongo; vingine vina heshima, vingine havina.
Basi Yeriko ulikuwa umefungwa kabisa kwa sababu ya Waisraeli; hapana mtu aliyetoka wala hapana mtu aliyeingia.
Akawasongeza watu wa nyumba yake mmoja mmoja; na Akani, mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda akatwaliwa.