Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 24:9 - Swahili Revised Union Version

Wayahudi nao wakamshitaki, wakisema ya kuwa ndivyo yalivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao Wayahudi waliunga mkono mashtaka hayo wakisema kwamba hayo yote yalikuwa kweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao Wayahudi waliunga mkono mashtaka hayo wakisema kwamba hayo yote yalikuwa kweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao Wayahudi waliunga mkono mashtaka hayo wakisema kwamba hayo yote yalikuwa kweli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pia wale Wayahudi wakaunga mkono wakithibitisha kuwa mashtaka haya yote ni kweli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pia wale Wayahudi wakaunga mkono wakithibitisha kuwa mashtaka yote haya ni kweli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wayahudi nao wakamshitaki, wakisema ya kuwa ndivyo yalivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 24:9
13 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wanadamu, hadi lini utukufu wangu utafedheheka? Je! Mtapenda ubatili na kutafuta uongo hadi lini?


Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa uongo.


Akawaamuru wale waliomshitaki waje kwako.] Wewe mwenyewe kwa kumwulizauliza utaweza kupata habari ya mambo yale yote tunayomshitaki sisi.


huku wakituzuia tusiseme na Mataifa wapate kuokolewa; ili watimize dhambi zao siku zote. Lakini hasira imewafikia hata mwisho.