Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 24:6 - Swahili Revised Union Version

Na tena alijaribu kulitia hekalu unajisi; tukamkamata; [tukataka kumhukumu kwa sheria yetu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena alijaribu kulikufuru hekalu, nasi tukamtia nguvuni. [Tulitaka kumhukumu kufuatana na sheria yetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena alijaribu kulikufuru hekalu, nasi tukamtia nguvuni. [Tulitaka kumhukumu kufuatana na sheria yetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena alijaribu kulikufuru hekalu, nasi tukamtia nguvuni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na hata amejaribu kulinajisi Hekalu, hivyo tukamkamata. [Tukataka kumhukumu kufuatana na sheria zetu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na hata amejaribu kulinajisi Hekalu, hivyo tukamkamata; [tukataka kumhukumu kufuatana na sheria zetu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na tena alijaribu kulitia hekalu unajisi; tukamkamata; [tukataka kumhukumu kwa sheria yetu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 24:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Pilato akawaambia, Haya! Mtwaeni ninyi, mkamhukumu kwa ile torati yenu! Wayahudi wakamwambia, Sisi hatuna ruhusa ya kuua mtu.


Kwa maana mmewaleta watu hawa, wasioiba vitu vya hekalu wala kumtukana mungu mke wetu.


Walipokuwa wakipiga kelele na kutupa mavazi yao na kurusharusha mavumbi juu,


Watu hawa hawakuniona ndani ya hekalu, nikihojiana na mtu, au kufanya fujo katika mkutano, wala katika masinagogi wala ndani ya mji.


Lakini Lisia jemadari akafika akamwondoa mikononi mwetu kwa nguvu,