Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 18:1 - Swahili Revised Union Version

Baada ya mambo hayo, Paulo akatoka Athene akafika Korintho.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya haya, Paulo akaondoka Athene akaenda Korintho.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya haya, Paulo akaondoka Athene akaenda Korintho.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Baada ya mambo hayo, Paulo akatoka Athene akafika Korintho.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 18:1
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wale waliomsindikiza Paulo wakampeleka mpaka Athene; nao wakiisha kupokea maagizo kuwapelekea Sila na Timotheo, ya kwamba wasikawie kumfuata, wakaenda zao.


Paulo alipokuwa akiwangojea huko Athene na kuona jinsi mji ule ulivyojaa sanamu, roho yake ilichukizwa sana ndani yake.


Na Krispo, mkuu wa sinagogi, akamwamini Bwana pamoja na nyumba yake yote. Wakorintho wengi waliposikia, waliamini, wakabatizwa.


Ikawa, Apolo alipokuwa Korintho, Paulo, akiisha kupita kati ya nchi za juu, akafika Efeso; akakutana na wanafunzi kadhaa huko;


kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, wale waliotakaswa katika Kristo Yesu, walioitwa wawe watakatifu, pamoja na wote wanaoliitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo kila mahali, Bwana wao na wetu.


Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu; kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, pamoja na watakatifu wote walioko katika nchi yote ya Akaya.


Lakini mimi namwita Mungu awe shahidi juu ya roho yangu, ya kwamba, kwa kuwahurumia sijafika Korintho.


Vinywa vyetu vimefumbuliwa kwenu, enyi Wakorintho; mioyo yetu imekunjuliwa.


Erasto alibaki Korintho. Trofimo nilimwacha huku Mileto, mgonjwa.