Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 10:26 - Swahili Revised Union Version

Lakini Petro akamwinua, akasema, Simama, mimi nami ni mwanadamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Petro alimwinua, akamwambia, “Simama, kwa maana mimi ni binadamu tu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Petro alimwinua, akamwambia, “Simama, kwa maana mimi ni binadamu tu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Petro alimwinua, akamwambia, “Simama, kwa maana mimi ni binadamu tu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Petro akamwinua akamwambia, “Simama, mimi ni mwanadamu tu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Petro akamwinua akamwambia, “Simama, mimi ni mwanadamu tu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini Petro akamwinua, akasema, Simama, mimi nami ni mwanadamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 10:26
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni BWANA; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu.


Naam, mkono wangu umeuweka msingi wa dunia, na mkono wangu wa kulia umezitanda mbingu; niziitapo husimama pamoja.


Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, Shetani; kwa maana imeandikwa, Mwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.


Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia.


Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.