Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 10:18 - Swahili Revised Union Version

wakaita; wakauliza kama Simoni aitwaye Petro anakaa humo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakaita kwa sauti: “Je, kuna mgeni humu aitwaye Simoni Petro?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakaita kwa sauti: “Je, kuna mgeni humu aitwaye Simoni Petro?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakaita kwa sauti: “Je, kuna mgeni humu aitwaye Simoni Petro?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakabisha hodi na kuuliza kama Simoni aliyeitwa Petro alikuwa anaishi hapo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakabisha hodi na kuuliza kama Simoni aliyeitwa Petro alikuwa anaishi hapo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakaita; wakauliza kama Simoni aitwaye Petro anakaa humo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 10:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati Petro alipokuwa akisumbuka ndani ya nafsi yake, juu ya maana ya maono hayo aliyoyaona, wale watu waliotumwa na Kornelio, wakatokeza. Walikuwa kukiulizia nyumba ya Simoni, wakiwa wamesimama mbele ya lango,


Na Petro alikuwa akiyafikiri yale maono. Roho akamwambia, Wako watu watatu wanakutafuta.


Na tazama, mara hiyo watu watatu wakasimama mbele ya nyumba tuliyokuwamo, waliotumwa kwangu kutoka Kaisaria.