Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 9:16 - Swahili Revised Union Version

Akawauliza, Mnajadiliana nini nao?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawauliza, “Mnajadiliana nini nao?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawauliza, “Mnajadiliana nini nao?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawauliza, “Mnajadiliana nini nao?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawauliza wanafunzi wake, “Mnabishana nao kuhusu nini?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawauliza wanafunzi wake, “Mnabishana nao kuhusu nini?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawauliza, Mnajadiliana nini nao?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 9:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wakatokea Mafarisayo, wakaanza kuhojiana naye; wakitafuta kwake ishara itokayo mbinguni; wakimjaribu.


mara mkutano wote walipomwona walishangaa, wakamwendea mbio, wakamsalimu.


Mtu mmoja katika mkutano akamjibu, Mwalimu, nimemleta mwanangu kwako, ana pepo bubu;