Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 7:29 - Swahili Revised Union Version

Akamwambia, Kwa sababu ya neno hilo, nenda zako, pepo amemtoka binti yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamwambia, “Kwa sababu ya neno hilo, nenda. Pepo amemtoka binti yako!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamwambia, “Kwa sababu ya neno hilo, nenda. Pepo amemtoka binti yako!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamwambia, “Kwa sababu ya neno hilo, nenda. Pepo amemtoka binti yako!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Isa akamjibu, “Kwa sababu ya jibu lako, nenda zako nyumbani; yule pepo mchafu amemtoka binti yako.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Isa akamjibu, “Kwa sababu ya jibu lako, nenda zako nyumbani; yule pepo mchafu amemtoka binti yako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwambia, Kwa sababu ya neno hilo, nenda zako, pepo amemtoka binti yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 7:29
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana mkono wangu ndio uliofanya hivi vyote, vitu hivi vyote vikapata kutokea, asema BWANA; lakini mtu huyu ndiye nitakayemwangalia, mtu aliye mnyonge, mwenye roho iliyopondeka, atetemekaye asikiapo neno langu.


Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.


Naye akajibu, akamwambia, Naam, Bwana, lakini hata mbwa walio chini ya meza hula makombo ya watoto.


Akaenda zake nyumbani kwake, akamkuta yule kijana amelazwa kitandani, na yule pepo amekwisha kumtoka.


atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.