Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 6:32 - Swahili Revised Union Version

Wakaenda zao faragha mashuani, mahali pasipokuwa na watu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakaondoka peke yao kwa mashua, wakaenda mahali pa faragha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakaondoka peke yao kwa mashua, wakaenda mahali pa faragha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakaondoka peke yao kwa mashua, wakaenda mahali pa faragha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo wakaondoka kwa mashua peke yao, wakaenda mahali pasipo na watu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo wakaondoka kwa mashua peke yao, wakaenda mahali pasipo na watu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakaenda zao faragha mashuani, mahali pasipokuwa na watu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 6:32
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia wanafunzi wake ya kwamba mashua ndogo ikae karibu naye, kwa sababu ya mkutano, wasije wakamsonga.


Wakauacha mkutano, wakamchukua vile vile alivyokuwa katika mashua. Na mashua zingine zilikuwako pamoja naye.


Watu wakawaona wakienda zao, na wengi wakatambua, wakaenda huko mbio kwa miguu, toka miji yote, wakatangulia kufika.


Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande mashuani, watangulie kwenda ng'ambo hata Bethsaida, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano.


Akapanda mle katika mashua walimo; upepo ukakoma; wakashangaa sana mioyoni mwao;


Baada ya hayo Yesu alikwenda zake ng'ambo ya Bahari ya Galilaya, nayo ndiyo ya Tiberia.