Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 5:8 - Swahili Revised Union Version

Kwa sababu amemwambia, Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.”)

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.”)

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, “Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.”)

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa Isa alikuwa amemwambia, “Mtoke mtu huyu, wewe pepo mchafu!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa Isa alikuwa amemwambia, “Mtoke mtu huyu, wewe pepo mchafu!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sababu amemwambia, Ewe pepo mchafu, mtoke mtu huyu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 5:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nakutambua u nani, Mtakatifu wa Mungu. Yesu akamkemea, akisema, Fumba kinywa, umtoke.


akapiga kelele kwa sauti kuu, akasema, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu aliye juu? Nakuapisha kwa Mungu usinitese.


Akamwuliza, Jina lako nani? Akamjibu, Jina langu ni Legioni, kwa kuwa tu wengi.


Akafanya hayo siku nyingi. Lakini Paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile.