Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 5:11 - Swahili Revised Union Version

Na hapo milimani palikuwa na kundi kubwa la nguruwe, wakila.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye mteremko wa mlima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye mteremko wa mlima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye mteremko wa mlima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe lililokuwa likilisha karibu kando ya kilima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe lililokuwa likilisha karibu kando ya kilima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hapo milimani palikuwa na kundi kubwa la nguruwe, wakila.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 5:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

waketio kati ya makaburi, na kulala katika mahali pao pa siri; walao nyama ya nguruwe, na mchuzi wa vitu vinichukizavyo u katika vyombo vyao;


Yeye achinjaye ng'ombe ni kama yeye amwuaye mtu; na yeye atoaye dhabihu ya mwana-kondoo ni kama yeye avunjaye shingo ya mbwa; na yeye atoaye matoleo ni kama yeye atoaye damu ya nguruwe; na yeye afukizaye uvumba ni kama yeye abarikiye sanamu; naam, wamezichagua njia zao wenyewe, na nafsi zao zafurahia machukizo yao.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


Basi, kulikuwako mbali nao kundi la nguruwe wengi wakila.


Akamsihi sana asiwapeleke nje ya nchi ile.


Pepo wote wakamsihi, wakisema, Tupeleke katika nguruwe, tupate kuwaingia wao.


Basi, hapo palikuwa na kundi la nguruwe wengi wakilishwa mlimani; wakamsihi awape ruhusa kuwaingia wale. Akawapa ruhusa.


na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.