Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 2:11 - Swahili Revised Union Version

Nakuambia, Ondoka, ujitwike godoro lako uende nyumbani kwako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Nakuambia simama; chukua mkeka wako uende nyumbani!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Nakuambia simama; chukua mkeka wako uende nyumbani!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Nakuambia simama; chukua mkeka wako uende nyumbani!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Nakuambia, inuka, chukua mkeka wako, uende nyumbani kwako.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Nakuambia, inuka, chukua mkeka wako, uende nyumbani kwako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nakuambia, Ondoka, ujitwike godoro lako uende nyumbani kwako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 2:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akamhurumia, akanyosha mkono wake, akamgusa, akamwambia, Nataka, takasika.


Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (hapo amwambia yule mwenye kupooza),


Mara akaondoka, akajitwika godoro lake, akatoka mbele yao wote; hata wakastaajabu wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, Hatujawahi kuona jambo kama hili kamwe.


Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.