Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:28 - Swahili Revised Union Version

Basi andiko likatimizwa linenalo, Alihesabiwa pamoja na waasi.]

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo yakatimia Maandiko Matakatifu yanayosema, “Aliwekwa kundi moja na waovu.”]

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo yakatimia Maandiko Matakatifu yanayosema, “Aliwekwa kundi moja na waovu.”]

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nalo andiko likatimizwa, lisemalo, “Alihesabiwa pamoja na watenda dhambi.”]

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nayo maandiko yakatimizwa, yale yasemayo, “Alihesabiwa pamoja na watenda dhambi.]”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi andiko likatimizwa linenalo, Alihesabiwa pamoja na waasi.]

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:28
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo nitamgawia sehemu pamoja na wakuu, Naye atagawana nyara pamoja nao walio hodari; Kwa sababu alimwaga nafsi yake hata kufa, Akahesabiwa pamoja na hao wakosao. Walakini alichukua dhambi za watu wengi, Na kuwaombea wakosaji.


Na pamoja naye walisulubisha wanyang'anyi wawili, mmoja mkono wake wa kulia na mmoja mkono wake wa kushoto. [


Nao waliokuwa wakipita njiani wakamtukana, wakitikisatikisa vichwa, wakisema, Ahaa! Wewe mwenye kulivunja hekalu na kulijenga katika siku tatu,


Kwa kuwa nawaambia, hayo yaliyoandikwa hayana budi kutimizwa kwangu; ya kuwa, Alihesabiwa pamoja na wahalifu. Kwa sababu yanipasayo yanao mwisho wake.


tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.