Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 14:71 - Swahili Revised Union Version

Akaanza kulaani na kuapiza, Simjui mtu huyu mnayemnena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, “Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, “Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, “Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Petro akaanza kujilaani na kuwaapia, “Mimi simjui huyu mtu mnayesema habari zake!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Petro akaanza kujilaani na kuwaapia, “Mimi simjui huyu mtu mnayesema habari zake!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaanza kulaani na kuapiza, Simjui mtu huyu mnayemnena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 14:71
6 Marejeleo ya Msalaba  

Siku zile BWANA akaanza kupunguza Israeli. Hazaeli akawapiga kote mipakani mwa Israeli;


Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?


Akakana tena. Kitambo kidogo tena wale waliosimama pale wakamwambia Petro, Hakika u mmoja wao, kwa sababu u Mgalilaya wewe.


Na mara jogoo akawika mara ya pili. Petro akalikumbuka lile neno aliloambiwa na Yesu, Kabla ya kuwika jogoo mara mbili, utanikana mara tatu. Na alipolifikiri, akalia.


Kwa hiyo anayejidhania kuwa amesimama na aangalie asianguke.