Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 14:57 - Swahili Revised Union Version

Hata wengine wakasimama, wakamshuhudia uongo, wakisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha wengine walisimama, wakatoa ushahidi wa uongo wakisema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha wengine walisimama, wakatoa ushahidi wa uongo wakisema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha wengine walisimama, wakatoa ushahidi wa uongo wakisema:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo wengine wakasimama wakatoa ushahidi wa uongo dhidi yake, wakisema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo wengine wakasimama wakatoa ushahidi wa uongo dhidi yake, wakisema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata wengine wakasimama, wakamshuhudia uongo, wakisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 14:57
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mikaya Mmorashti, alitabiri katika siku za Hezekia, mfalme wa Yuda; akasema na watu wote wa Yuda, ya kwamba, BWANA wa majeshi asema hivi, Sayuni utalimwa kama shamba lilimwavyo, na Yerusalemu utakuwa magofu, na mlima wa nyumba utakuwa kama mahali palipoinuka msituni.


Ewe mwenye kulivunja hekalu na kulijenga kwa siku tatu, jiokoe nafsi yako; ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, shuka msalabani.


Kwa maana wengi walimshuhudia uongo, lakini ushuhuda wao haukupatana.


Sisi tulimsikia akisema, Mimi nitalivunja hekalu hili lililofanyika kwa mikono, na katika siku tatu nitajenga jingine lisilofanyika kwa mikono.


Nao waliokuwa wakipita njiani wakamtukana, wakitikisatikisa vichwa, wakisema, Ahaa! Wewe mwenye kulivunja hekalu na kulijenga katika siku tatu,