Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 14:19 - Swahili Revised Union Version

Wakaanza kuhuzunika, wakamwambia mmoja mmoja, Je! Ni mimi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi, Bwana?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakaanza kuhuzunika, wakamwambia mmoja mmoja, Je! Ni mimi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 14:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?


Nao walipokuwa wameketi chakulani, wakila, Yesu alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu, naye anakula pamoja nami, atanisaliti.


Akawaambia, Ni mmoja wa hao Kumi na Wawili, ambaye achovya pamoja nami katika kombe.


Wanafunzi wakatazamana, huku wakiwa na mashaka ni nani amnenaye.