naye aliye shambani asirudi nyuma kulichukua vazi lake.
Aliye shambani asirudi nyuma kuchukua vazi lake.
Aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua vazi lake.
na mtu aliye juu ya dari asishuke, wala asiingie kuchukua kitu nyumbani mwake;
Lakini ole wao wenye mimba, nao wanyonyeshao siku hizo!