Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 11:26 - Swahili Revised Union Version

Lakini kama ninyi hamsamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini msipowasamehe wengine, hata Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe nyinyi makosa yenu.]

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini msipowasamehe wengine, hata Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe nyinyi makosa yenu.]

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini kama ninyi msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kama ninyi msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini kama ninyi hamsamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 11:26
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ndivyo na Baba yangu wa mbinguni atakavyowatenda ninyi, msiposamehe kwa mioyo yenu kila mtu ndugu yake.


Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi.


Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.