Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 11:16 - Swahili Revised Union Version

wala hakumruhusu mtu yeyote kupitia katika hekalu akiwa amebeba kitu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hakumruhusu mtu yeyote kupitia hekaluni akichukua kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hakumruhusu mtu yeyote kupitia hekaluni akichukua kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hakumruhusu mtu yeyote kupitia hekaluni akichukua kitu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wala hakumruhusu mtu yeyote kuchukua bidhaa kupitia ukumbi wa Hekalu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wala hakumruhusu mtu yeyote kuchukua bidhaa kupitia ukumbi wa Hekalu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wala hakumruhusu mtu yeyote kupitia katika hekalu akiwa amebeba kitu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 11:16
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafika Yerusalemu, naye akaingia ndani ya hekalu, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza na kununua ndani ya hekalu, akazipindua meza za wabadili fedha, na viti vyao wauzao njiwa;


Akafundisha, akasema, Je! Haikuandikwa, Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote? Bali ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi.