Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 11:10 - Swahili Revised Union Version

umebarikiwa na ufalme ujao, wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ubarikiwe ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Sifa kwa Mungu juu mbinguni!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ubarikiwe ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Sifa kwa Mungu juu mbinguni!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ubarikiwe ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Sifa kwa Mungu juu mbinguni!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Umebarikiwa ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!” “Hosana kwake yeye aliye juu!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Umebarikiwa Ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!” “Hosana kwake yeye aliye juu!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

umebarikiwa na ufalme ujao, wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 11:10
13 Marejeleo ya Msalaba  

Haleluya. Msifuni BWANA kutoka mbinguni; Msifuni katika mahali palipo juu.


ndipo nitawatupilia mbali wazao wa Yakobo, na Daudi, mtumishi wangu, hata nisitwae wazao wake watawale juu ya wazao wa Abrahamu, na Isaka, na Yakobo; kwa maana nitawarudisha wafungwa wao, nami nitawarehemu.


baada ya hayo wana wa Israeli watarejea, na kumtafuta BWANA, Mungu wao, na Daudi, mfalme wao; nao watamwendea BWANA na wema wake kwa kicho siku za mwisho.


Na makutano waliotangulia, na wale waliofuata, wakapaza sauti, wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi; ndiye mbarikiwa, yeye ajaye kwa jina la Bwana; Hosana juu mbinguni.


wala msiwaze mioyoni mwenu kwamba, Tunaye baba, ndiye Abrahamu; kwa maana nawaambia ya kwamba Mungu aweza katika mawe haya kumwinulia Abrahamu watoto.


Atukuzwe Mungu juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.