Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 10:4 - Swahili Revised Union Version

Wakasema, Musa alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao wakasema, “Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao wakasema, “Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao wakasema, “Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakajibu, “Musa aliruhusu kwamba mume anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakajibu, “Musa aliruhusu kwamba mume anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakasema, Musa alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 10:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA asema hivi, Iko wapi hati ya talaka ya mama yenu, ambayo kwa hiyo niliachana naye? Au nimewauza ninyi kwa nani katika watu wanaoniwia? Ninyi mliuzwa kwa sababu ya maovu yenu; tena mama yenu ameachwa kwa sababu ya makosa yenu.


Watu husema, Mtu akimwacha mkewe, naye akienda zake, akawa mke wa mtu mwingine, je! Mtu huyo atamrudia tena? Je! Nchi hiyo haitatiwa unajisi? Lakini wewe umefanya mambo ya ukahaba na wapenzi wengi; nawe, je! Utanirudia mimi? Asema BWANA.


Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alivyokuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri.


Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?


Naye akajibu, akawaambia, Musa aliwaamuru nini?