Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 1:39 - Swahili Revised Union Version

Akaenda akihubiri katika masinagogi yao, katika nchi yote ya Galilaya, na kutoa pepo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, akaenda kila mahali huko Galilaya akihubiri katika masunagogi na kufukuza pepo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, akaenda kila mahali huko Galilaya akihubiri katika masunagogi na kufukuza pepo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, akaenda kila mahali huko Galilaya akihubiri katika masunagogi na kufukuza pepo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo akazunguka Galilaya yote, akihubiri katika masinagogi yao na kutoa pepo wachafu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo akazunguka Galilaya kote, akihubiri katika masinagogi yao na kutoa pepo wachafu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaenda akihubiri katika masinagogi yao, katika nchi yote ya Galilaya, na kutoa pepo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 1:39
10 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alikuwa akizunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila namna waliyokuwa nayo watu.


Naye Yesu alikuwa akizunguka katika miji yote na vijiji, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila aina.


Wakashika njia mpaka Kapernaumu, na mara siku ya sabato akaingia katika sinagogi, akafundisha.


Na mara palikuwapo ndani ya sinagogi lao mtu mwenye pepo mchafu; akapaza sauti,


Akawaambia, Twendeni mahali pengine, katika vijiji vilivyo karibu, nipate kuhubiri huko nako; maana nilikuja kwa ajili ya hilo.


Akaingia tena katika sinagogi; na palikuwako huko mtu mwenye mkono uliopooza;


Akastaajabu kwa sababu ya kutoamini kwao. Akazungukazunguka katika vile vijiji, akifundisha.


Akaenda zake nyumbani kwake, akamkuta yule kijana amelazwa kitandani, na yule pepo amekwisha kumtoka.


Pepo nao waliwatoka watu wengi, wakipiga kelele na kusema, Wewe u Mwana wa Mungu. Akawakemea, asiwaache kunena, kwa sababu walimjua kuwa ndiye Kristo.