Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 1:17 - Swahili Revised Union Version

Yesu akawaambia, Njooni mnifuate, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawaambia, “Nifuateni nami nitawafanya nyinyi kuwa wavuvi wa watu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawaambia, “Nifuateni nami nitawafanya nyinyi kuwa wavuvi wa watu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawaambia, “Nifuateni nami nitawafanya nyinyi kuwa wavuvi wa watu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akawaambia, Njooni mnifuate, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 1:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Tena itakuwa, wavuvi watasimama karibu nao; toka Engedi mpaka En-eglaimu, patakuwa ni mahali pa kutandazia nyavu; samaki wao watakuwa namna zao mbalimbali, kama samaki wa bahari kubwa, wengi sana.


Naye alipokuwa akipita kando ya bahari ya Galilaya, akamwona Simoni na Andrea nduguye, wakitupa jarife baharini; kwa maana walikuwa wavuvi.


Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.


na kadhalika Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, waliokuwa washirika wa Simoni. Yesu akamwambia Simoni, Usiogope, tangu sasa utakuwa ukivua watu.