Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:5 - Swahili Revised Union Version

Amejenga boma juu yangu, Na kunizungusha uchungu na uchovu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amenizingira na kunizungushia uchungu na mateso.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amenizingira na kunizungushia uchungu na mateso.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amenizingira na kunizungushia uchungu na mateso.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amenizingira na kunizunguka kwa uchungu na taabu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amenizingira na kunizunguka kwa uchungu na taabu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amejenga boma juu yangu, Na kunizungusha uchungu na uchovu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye ameiziba njia yangu nisipate kupita, Na kutia giza katika mapito yangu.


Wakanipa uchungu kuwa chakula changu; Na nilipokuwa na kiu wakaninywesha siki.


Basi BWANA wa majeshi asema hivi, kuhusu habari ya manabii, Tazama, nitawalisha pakanga, nitawanywesha maji ya uchungu; kwa kuwa kutoka kwa manabii hao wa Yerusalemu kukufuru kumeingia katika nchi yote.


Mbona tunakaa kimya? Jikusanyeni, tukaingie ndani ya miji yenye maboma, tukanyamaze humo kwa maana BWANA, Mungu wetu, ametunyamazisha, naye ametupa maji yenye uchungu tunywe, kwa sababu tumemwasi BWANA.


Basi, BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Tazama, nitawalisha pakanga, naam, watu hawa, nami nitawapa maji yenye sumu wayanywe.


Kumbuka mateso yangu, na msiba wangu, Pakanga na nyongo.


Lakini, hapo mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, basi jueni ya kwamba uharibifu wake umekaribia.