Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:41 - Swahili Revised Union Version

Na tumwinulie Mungu aliye mbinguni Mioyo yetu na mikono.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tumfungulie Mungu huko mbinguni mioyo yetu na kumwomba:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tumfungulie Mungu huko mbinguni mioyo yetu na kumwomba:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tumfungulie Mungu huko mbinguni mioyo yetu na kumwomba:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu kwa Mungu mbinguni, na tuseme:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu kwa Mungu mbinguni, na tuseme:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na tumwinulie Mungu aliye mbinguni Mioyo yetu na mikono.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:41
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ukiuweka moyo wako kwa uelekevu, Na kumnyoshea mikono yako;


Painulieni patakatifu mikono yenu, Na kumhimidi BWANA.


Sala yangu ipae mbele zako kama uvumba, Kuinuliwa mikono yangu kama dhabihu ya jioni.


Ee BWANA, nakuinulia nafsi yangu,


Uisikie sauti ya dua yangu nikuombapo, Nikipainulia patakatifu pako mikono yangu.


Ndivyo nitakavyokubariki maadamu ni hai; Kwa jina lako nitaiinua mikono yangu.


Uifurahishe nafsi ya mtumishi wako, Maana nafsi yangu nakuinulia Wewe, Bwana.


Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.


Hivyo ndivyo nasi tukiwajali kwa upendo mwingi, tuliona furaha kuwapa, si Injili ya Mungu tu, bali na roho zetu pia, kwa sababu mmekuwa wapendwa wetu.