Maombolezo 3:41 - Swahili Revised Union Version Na tumwinulie Mungu aliye mbinguni Mioyo yetu na mikono. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Tumfungulie Mungu huko mbinguni mioyo yetu na kumwomba: Biblia Habari Njema - BHND Tumfungulie Mungu huko mbinguni mioyo yetu na kumwomba: Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Tumfungulie Mungu huko mbinguni mioyo yetu na kumwomba: Neno: Bibilia Takatifu Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu kwa Mungu mbinguni, na tuseme: Neno: Maandiko Matakatifu Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu kwa Mungu mbinguni, na tuseme: BIBLIA KISWAHILI Na tumwinulie Mungu aliye mbinguni Mioyo yetu na mikono. |
Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.
Hivyo ndivyo nasi tukiwajali kwa upendo mwingi, tuliona furaha kuwapa, si Injili ya Mungu tu, bali na roho zetu pia, kwa sababu mmekuwa wapendwa wetu.