Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:33 - Swahili Revised Union Version

Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu. Wala kuwahuzunisha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye hapendelei kuwatesa wala kuwahuzunisha wanadamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye hapendelei kuwatesa wala kuwahuzunisha wanadamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye hapendelei kuwatesa wala kuwahuzunisha wanadamu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana hapendi kuwaletea mateso au huzuni watoto wa wanadamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana hapendi kuwaletea mateso au huzuni watoto wa wanadamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu. Wala kuwahuzunisha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:33
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye Mwenyezi hamwezi kumwona; Yeye ni mkuu mwenye uweza; Tena mwenye hukumu, na mwingi wa haki, hataonea.


Kabla sijateswa mimi nilipotea, Lakini sasa nimelitii neno lako.


Ilikuwa vema kwangu kuwa niliteswa, Nipate kujifunza amri zako.


Maana BWANA ataondoka kama vile katika mlima Perasimu, ataghadhibika kama vile katika bonde la Gibeoni; apate kufanya kazi yake, kazi yake ya ajabu; na kulitimiza tendo lake, tendo lake la ajabu.


Wafungwa wote wa duniani Kupondwa chini kwa miguu,


Maana mimi sikufurahii kufa kwake afaye, asema Bwana MUNGU; basi ghairini, mkaishi.


Waambie, Kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, sikufurahii kufa kwake mtu mwovu; bali aghairi mtu mwovu, na kuiacha njia yake mbaya, akaishi. Ghairini, ghairini, mkaache njia zenu mbaya; mbona mnataka kufa, Enyi nyumba ya Israeli?