Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 9:30 - Swahili Revised Union Version

Na tazama, watu wawili walikuwa wakizungumza naye, nao ni Musa na Eliya;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na watu wawili wakaonekana wakizungumza naye, nao walikuwa Mose na Elia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na watu wawili wakaonekana wakizungumza naye, nao walikuwa Mose na Elia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na watu wawili wakaonekana wakizungumza naye, nao walikuwa Mose na Elia,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ghafula wakawaona watu wawili, ndio Musa na Ilya, wakizungumza naye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ghafula wakawaona watu wawili, ndio Musa na Ilya, wakizungumza naye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na tazama, watu wawili walikuwa wakizungumza naye, nao ni Musa na Eliya;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 9:30
13 Marejeleo ya Msalaba  

Naye atatangulia mbele zake katika roho ya Eliya, na nguvu zake, ili kuigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto, na kuwatilia waasi akili za wenye haki, na kumwekea Bwana tayari watu waliotayarishwa.


Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.


Kisha akawaambia, Hayo ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi, ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Musa, na katika vitabu vya Manabii na Zaburi.


Wakamjibu wakisema, Yohana Mbatizaji; lakini wengine, Eliya; na wengine kwamba mmojawapo wa manabii wa kale amefufuka.


Ikawa katika kusali kwake sura ya uso wake ikageuka, mavazi yake yakawa meupe, yakimetameta.


walioonekana katika utukufu, wakanena habari za kufariki kwake atakakotimiza Yerusalemu.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.