Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 7:23 - Swahili Revised Union Version

Naye heri mtu yeyote asiyechukizwa nami.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye heri mtu yeyote asiyechukizwa nami.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 7:23
11 Marejeleo ya Msalaba  

Naye heri awaye yote asiyechukizwa nami.


Simeoni akawabariki, akamwambia Mariamu mama yake, Tazama, huyu amewekwa kwa kuanguka na kuinuka wengi walio katika Israeli, na kuwa ishara itakayonenewa.


Ndipo alipojibu, akawaambia, Nendeni mkamweleze Yohana hayo mliyoyaona na kuyasikia; vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, maskini wanahubiriwa Habari Njema.


Basi, wajumbe wa Yohana walipokwisha ondoka, alianza kuwaambia makutano habari za Yohana, Mlitoka kwenda nyikani kutazama nini? Unyasi ukitikiswa na upepo?


Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.